Tah Tah Lyrics by IRENE UWOYA


Mume, naam
Mume wangu, Rabeka Mke wangu
Unakumbuka lile jazmini(Mmh hmm)
Tangu asubuhi huwezi amini
Tea maji tea maji hata kivulini hali haiamki
Nini tena?
Basi leo kila kitu kimenigomea 
TV haitaki, redio haitaki, 
Jirani haitiki, chakula hakiliki

Na nilipokumywa maji kooni hayapiti mume
Mke wangu punguza deko 
Unavyojua nilivyolimiss lako cheko
Nikwambie tu sauti yako
Inaweza uamsha wangu mwiko
Na huku nilipo sipo mama
Unaweza ukanifanya niitafute dettol
Na usiku huu mpaka imara seko(Aaah aah)
Nisubirie nakuja, nisubirie

Sawa bwana, nakusubiri nitafanya nini?
Bara la pwani uko peke yako
Hapalaliki namiss fua lako
Na nilivyomwoga kondeni siendi 
Inakuapia njoo mwenyewe ulishe kundi lako mume

Kha shelilahi we mwanamke 
Usinifanye niwahi (Usiku huu nifike)
Na nilivyo kimiss kibanda chako cha makuti
Date sweetheart si utanikiss kwenye lips
Huku ukimumuche biskuti
Bwana ee usinifanye nikafukuzwa kazi 
Mwenzio tafadhali, wananisikia ujue
Nini bwana si unaongea na mkeo

Sikia bae, mwenzio nimemiss 
Macho yako kama koroboi laisha mafuta
Nawe niambie ukipendacho 
Kabla ya waume ni kukata

Tah Tah 
Ya nini niseme kama sitapata
Tah Tah Tah 

Haya usiku mwema mi amor
Sawa usiku mwema mume wangu 

Watch Video

About Tah Tah

Album : Tah Tah (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 19 , 2019

More IRENE UWOYA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl