Moyo Lyrics by HAWA NTAREJEA


Kipya usichojua 
Maana isielewe ka barani
Labda ulipogundua
Ukanunua kisu cha butchery

We ukanirarua 
Leo kwako sina dhamani tena
Ibada niombe dua
Labda atarudi kuwa ka zamani

Oooh ooh 

Macho yangu yamekaa kusubiri
Kwa sababu ya kukesha
Na nikikesha kuna mawili
Huja usije kabisa

Moyoni naona dalili
Pendo nalichekecha
Tamu imegeuka shubiri
Mapenzi yamekwisha kabisa ee

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Nina imani unavyoniliza leo
Na mi kesho Mungu atanilipia
Siamini mi nimegeuka kero
Sina chochote cha kukupa hisia

Hivi ni kweli ninayo yaona leo
Au niko ndotoni?
Mapenzi yamekuwa kwa leo
Yananichimbiwa shimoni

Macho yalalamika kusubiri
Kwa sababu ya kukesha
Na nikikesha kuna mawili
Huja usije kabisa

Moyoni naona dalili
Pendo nalichekecha
Tamu imegeuka shubiri
Mapenzi yamekwisha kabisa ee

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

(Nina moyo mama, nina moyo mama)

Watch Video

About Moyo

Album : Moyo (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 08 , 2020

More HAWA NTAREJEA Lyrics

HAWA NTAREJEA
HAWA NTAREJEA
HAWA NTAREJEA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl