Sina Lyrics by HARMONIZE


Wasaaafi
Ayooo Laizer
Hhhm hhhm
Ujana ni maji ya moto
Yashaniunguza mi nataketea
Niliwakana watoto wangeniuguza sikutegemea
Na kama dunia tambala langu lishatoboka
Sina hata pa kulala nakesha kwa Kimboka
Wale marafiki niliokula nao
Na kunisifu sasa siwaoni
Eti sina kiki siendani nao kwa kuwa sina kitu mfukoni
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Na kumwaga radhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina mama)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Hhmm
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia
Misemo ya wahenga
Family ndugu lawama
Sikutaka karibia kwangu
Nipokee
Ponda mali eti kufa kwaja
(Heheheeee)
Kumbe nivukako mbali navunja daraja
Jua likizama nafsi nanyongea mawazo
Nani nimpe lawama
Peke yangu naongea hamnazo
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Napumua karadhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Pesa pesa
Pesa Pesa
Pesa Pesa
Pesa pesa
Pesa pesa
Pesa mfano wa poto (Pesa pesa)
Zinapepea sare ndo sindano (Pesa pesa)
Chunga yasije majuto (Pesa pesa)
Tena tekea igeni mifano

Watch Video

About Sina

Album : Sina (Album)
Release Year : 2017
Copyright : ©2017 Wasafi Records
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 09 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl