Pipe Industries Lyrics by HARMONIZE


Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Sambamba na dira ya serikali ya awamu ya tano
Yenye nia ya kusambaza maji safi salama
Maji taka tunayatupa mbali elfu mbili ishirini na tano
Kote Tanzania tunywe yaliyo safi salama

Mmmh tuwakabidhi hilo jukumu Pipes Industry
Maana wengine kelele usidhubutu
Ndo mabingwa wa mabomba magumu Pipes Industries
Utatumia miaka milele hayashiki kutu

Tena hayatengenezwi mbali
Ni hapa hapa Tanzania
Wawekezaji hodari
Wazawa wa Tanzania

Mbomba imara ngangari 
Kivyovyote utavyotumia
Hata bei yake sio ghali 
Ni nafuu kwa Mtanzania yeyote

Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Mabomba haya hutumika
Kwenye miradi ya ujenzi
Kilimo umwagiliaji 
Hadi mogodi ya madini

Kupitisha maji taka kadhalika
Kupasuka hayawezi
Hata kwa wafugaji
Ndio chaguo lao niamini eeeh

Mabomba yanayokidhi ubora
Viwango vya taifa na kimataifa
ISO na TBAC

Tena hayatengenezwi mbali
Ni hapa hapa Tanzania
Wawekezaji hodari
Wazawa wa Tanzania

Mbomba imara ngangari 
Kivyovyote utavyotumia
Hata bei yake sio ghali 
Ni nafuu kwa Mtanzania yeyote

Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba
Pipes Industry mkombozi wa mabomba
Pipes Industry mambo yote sasa bomba

Watch Video

About Pipe Industries

Album : Pipe Industries (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 16 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl