Mpaka Kesho Lyrics by HARMONIZE


(Its Bonga)

Hello, Hello baby
Mmmh mmmh

Natamani niandike barua na niitume kwako
Ilanahisi hutaisomaa, utaikataa
Hata simu nitajisumbua, kupiga namba yako
Maana hata ukiiona utaikata

I wish yawe ndoto, haya ninayo yapitia
Ama nirudi utoto imenisonga dunia
Eti kurwa bila ndoto, hivi ni wapi ntaanzia?
Kulia bila kushoto, sijawai kusikia

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Nishajaribu kudanga nipoteze mawazo
Huenda nitaenjoy
Kumbe najivua utu na heshima

Kwa watabibu waganga
Nijue nini chanzo, mwenzako nipo hoi
Ama nyota yangu butu, makali sina

Eeeh, zile nadhiri
Kwamba utaniweka moyoni zinajirudia
Mie ndio moja we mbili
Mbona sasa sikuoni, umenikimbia

Mie mwenzako ka sabuni kichelema
Siezi ata kupangusa ah ah
Jeraha la penzi nachechema
Sina furaha ata ya kunusa ah ah

Yaani umeniacha dillema
Siwezi kupanda kushusha ah ah
Yaani mapenzi vitaa, CCM na Chademaa
Firauni na Musa ah ah

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Wa kumove on nitakuwa mie (Ooh siwezi)
Yaani ipite siku nisikufikirie (Ooh siwezi)
Kuku unfollow nitaweza mie? (Ooh siwezi)
Kwenye page yako nisichungulie eeh (Ooh siwezi)

(The Mix Killer)

Watch Video

About Mpaka Kesho

Album : AFRO EAST / Mpaka Kesho (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 15 , 2020

More lyrics from Afro East album

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl