Harmonize new song "Jeshi"  released on August 10 2020, under Konde Gang Music Wor...

Jeshi Lyrics by HARMONIZE


Yao Yao
Oh nah nah nah
Mmmh

Sometimes what you doing
Can be receiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving

Ghetto sikuwa na umeme wala cable 
Jeans moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang lebo

Siku zote kisicho kuua 
Kitakufanya uwe ngangari
Ata mwanga huwezi kumjua
So ishi nao kwa tahadhari

My sister siku hizi shape ananunua
We pambana upate salary
Ila usisahau pesa maua
So ukikosa hata usijali

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa Master na Lita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love, njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi! Konde boy Jeshi!
Na hizi wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo 

Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
Yaani wanangu wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Ninaamini Mungu yupo
Tena Naongea nae japo sisikii sauti yake
Nikianguka ntainuka tena 
So usishangae why Tembo anahustle peke yake

Coz I know, unapokiokota
Ndo wakati wakutunza Ili kesho kisije potea
Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
Ili ujue wapi ulipokosea

Sio kama siwezi kujibizana
Ila mwenzenu nimeumbwa na subra
Eey, cheki madili yanavyogogana
Coz nina nyota ya Libra

Mbona siwaoni walotumwa kunitukana 
Vichwa vyao viko kibra
Tena siku hizi siimbi sana
Acha washindane na Ibrah

I say One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa Master na Lita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love, njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi! Konde boy Jeshi!
Na hizi wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo 

Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
Yaani wanangu wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Konde Boy!

Watch Video

About Jeshi

Album : Jeshi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Music Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 10 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 1 )

.
Jobsco Platinumz 2020-08-27 04:06:37

The blood of wasafi still in him,go on Jeshi.



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl