HARMONIZE Band Rehearsal cover image

Band Rehearsal Lyrics

Band Rehearsal Lyrics by HARMONIZE


Ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa gym gym
Shepu ndo linanipa wazim zim

Na tattoo ni mchore
Ndo hivyo tena hapendeki
Kweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona mia

Hivi niseme ana ngekewa
Ama nyota yake kali amenizidi
Ama mjini nimechelewa 
Ona wengine wanamponda wanamuita bibi

Tulianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya cinema
Alikuwaga akila mziki na Wema
She is so cute

Hata wanione mshamba tu
Maji huwezi hapigia honi
Umri nao ni namba tu
Kinachoniuma anajifanya haoni

Kama unamjua, mtaje
Wewe unamjua, mtaje
Hivi ni kweli unamjua, mtaje
Napenda kesho anizimie

Hivi nani anayemjua, mtaje
Ramata unamjua, mtaje
Kera unamjua, mtaje
Baba nachange nikamwambie

Licha ya maumivu maumivu
Ila sijawai give up
Mwenzenu nina wivu nina wivu
Machozi hayaishi kuwaza 

Licha ya maumivu maumivu
Ila sijawai give up
Mwenzenu nina wivu nina wivu
Machozi hayaishi kuwaza 

Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Napenda kesho anizimie 

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Ndo maana nachange nenda umwambie

Watch Video

About Band Rehearsal

Album : Band Rehearsal (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Konde Music Worldwide
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 25 , 2021

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl