Ndoto Lyrics by HAMIS BSS


Aah aah aah
Mmmh mmmh

Nahodha boti inazama
Bahari haina pa kushikia
Kina kirefu nitazama
Nawe ndo msaada unanikimbia

Bahari, kwa jua ina miti
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Nitaishi na wewe 
I swear sitamuona yeyote
Ingawaje ukiondoka utaniacha kilio tupu
Usiku na mchana aaah

Mihogo karanga ndo ngingingi
Na kwenye boxer ndo ndindindi
Chemu chemu mabonde vigingingi
Kuja kwa maji ndo mawimbi

Ai wewe naumia sana aah
Mwenyewe najua unaona

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Aiii oooh 
Chizi kama ndizi
Unanionaga chizi chizi
Ah we wewee, aii ooh dada

Chizi kama ndizi
Chizi kama ndizi
Mwenzio oooh, aaah eeeh..

Watch Video

About Ndoto

Album : Ndoto (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 18 , 2020

More HAMIS BSS Lyrics

HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl