Shukrani Lyrics by GOODLUCK GOZBERT


Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili

Nina kushukuru Mungu tena sababu ya vingi, hata nikiwa nasali unajua namaanisha

Sio kama eti nilitenda wema wakuja linganisha na matendo yako makuu mimi Mungu ningekulipa nini

Ulikonitoa ni siri ya moyo matopeni topeni ukaniketisha na wakuu juu

Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili

Umenipa heshima ukanifuta machozi asante ooh baba

Hata shukurani zangu ni kwako
Shukrani zangu ni kwako
Na shukurani zangu ni kwako
Shukurani zangu ni kwako, asante baba ooh

Aibu umefuta fedheha umefuta
Umenipa amani iliyo ya kweli nakumbuka nalia mimi ni yule ambae

Nilitukanwa na kwa dharau wakasema kwisha habari yake kuna kipindi nilikufa nikawa mifupa inayotembea

Ikiwa kwa siku za usoni walisema tunazika kesho ila kwa huruma uliniponya na kaburi kwa hurumaa na sitosahau wema wako wee baba

Watch Video

About Shukrani

Album : Shukrani (Single)
Release Year : 2017
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 19 , 2020

More GOODLUCK GOZBERT Lyrics

GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl