Umenibeba Lyrics by GODWILL BABETTE


Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Nani wa kufanana nawe Mungu wa Israeli
Wa Kupenda na kuchua ni wewe Jehovah ah
Umenifanya mrithi wa kusudi wa wema wako kabisa
Namtumianie nani yeye eh ila Ebenezer

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Na bado unanikumbatia wakati wa mawimbi
Tena bado unanizingatia na kunipa tumaini
Nafsi yangu nakupatia nifinyange
Nitalinda moyo wangu huu uu ukufwate

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni natoa
Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni natoa
Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni mwangu natoa

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Watch Video

About Umenibeba

Album : Umenibeba (Single)
Release Year : 2016
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2020

More GODWILL BABETTE Lyrics

GODWILL BABETTE
GODWILL BABETTE
GODWILL BABETTE
GODWILL BABETTE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl