GNAKO Weka cover image

Weka Lyrics

Weka Lyrics by GNAKO


Enyi wakabana mimi ndio ndizi banana
Ninakabana usiku mpaka manyana
Nyie mnaita fall in love, mimi sijielewi ila
Nimekwisha mkangavu ma, ninakaba kila safu ma
 
Eeh wakabana mimi ndio ndizi banana
Ninakabana usiku mpaka manyana
Nyie mnaita fall in love, mimi sijielewi ila
Nimekwisha mkangavu mah, ninakaba kila safu ma
 
Wekapo, tena anawekapo(aibu)
Wekapo, tena anawekapo(aibu)
Wekapo, tena anawekapo(aibu)
Wekapo, tena anawekapo(aibu)
 
Na vijisenti vyangu namwaga
Uno kama unataga
Kwa chini mi navimwaga
Ooooh gal we ni shida
 
Heshima kwa mama yako imesimama
Umenishika, kitaki zimenachua imesimama
Wahuni wanapanda mnazi
Picha zako ghetto mi nadata
 
Mavitu yako huko huko Insta
Masnapchat wanadata
Nimekwisha kabisa
Moyo wangu umesimama
Siri zangu ma unazo
Password nimekupa na
 
Enyi wakabana mimi ndio ndizi banana
Ninakabana usiku mpaka manyana
 
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
 
Digaga nifupande(Pande)
Wacha mizuka ipande(Pande)
Ukitokea nigande(Gande)
Kitandani unikande(Kande)
 
Uuuuuii, buno la kwenda
Eeeh uno mlenda
Kisa cha kwenda
Eeh toto la kwenda
 
Enyi wakabana mimi ndio ndizi banana
Ninakabana usiku mpaka manyana
 
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
Wekapo(aibu), tena anawekapo(ooh gal)
 
Twende...twende

Watch Video

About Weka

Album : Weka
Release Year : 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2019

More GNAKO Lyrics

GNAKO
GNAKO
GNAKO
GNAKO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl