
Nani Kama wewe Lyrics
Nani Kama wewe Lyrics by GLORIA MULIRO
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Kwa neno lako Bwana
Uliumba dunia na vyote vilivyomo
Baba
Jina lako Baba
Limeinuliwa juu ya yote
Hakuna, hakuna kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Uinuwae wanyonge
Wawaketisha na wafalme
Hakuna uwezaye tenda ila
Nikitazama maisha yangu
Ulikonitoa Yesu wangu
Nina sababu ya kusema
Ni wewe pekee
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe
Mungu mkuu
Nani mwenye uwezo wote
Nani mwenye rehema tele
Nani mwenye enzi kama yako
Ni wewe pekee
Wastahili sifa zote
Mbinguni na duniani Baba
Twakusujudu, twakuabudu, twakuheshimu
Ni nani kama wewe
Ni nani kama wewe Baba
Ooh oo kama wewe
Nani?
Umetukuka adonai, el shadai
Mungu mwenye nguvu
Ni nani mwingine kama wewe
Hakuna wa kulinganishwa na wewe Baba
Nani kama wewe Baba/Yahweh
Watch Video
About Nani Kama wewe
More GLORIA MULIRO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl