CHIKUZEE Koma Corona cover image

Paroles de Koma Corona

Paroles de Koma Corona Par CHIKUZEE


Korona umeleta tafarani
Hatutembeleani nyumbani
Kwa marafiki vikao vingi
Umevitawala wewe

Barabarani tuvae maski
Tuingie hapo tuoshe mkono hi
Hauitaki halaiki ya watu
Wananchi tutakula nini?

TV, gazeti, redio nchini
We Corona utaisha lini?
Hauitaki halaiki ya watu
Wananchi tutakula nini?

Ooh dunia mzima mtaani o
Taarifa nyingine hakuna o
Ni yako ni yako ee
Ni yako Corona

Madakitari kimbilio letu
Unawamaliza wewe sasa
Nimechoka sekeseke zako, mie 
Zimechosha masikio koma

Koma Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini koma

Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini ayee

Eeh una nguvu za ajabu 
Napata taabu
Nakosa usingizi hey
Unanifanya mapema nilale 
Na nnje nisitoke

Niambie nikupe siku ngapi
Ujisalimishe duniani wewe
Kama ni mwaka hatutaki
Utausambaratisha ulimwengu wote

Ona na vifo vyako vinahesabu
Unao waadhiri hawana matibabu
Wanapata taabu
Kisa Corona wewe

Ooh dunia mzima mtaani o
Taarifa nyingine hakuna o
Ni yako ni yako ee
Ni yako Corona

Madakitari kimbilio letu
Unawamaliza wewe sasa
Nimechoka sekeseke zako, mie 
Zimechosha masikio koma

Koma Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini koma

Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini ayee

Mola tuepushie 
Na hili janga la korona
Tushushie na neema zako
Mola 

Corona eeh, Corona ooh
Corona kilio Corona
Corona aah, Corona

Ecouter

A Propos de "Koma Corona"

Album : Koma Corona
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : May 06 , 2020

Plus de Lyrics de CHIKUZEE

CHIKUZEE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl