Siku Moja Lyrics by EZE NICE


Nilikuandika kwenye historia
Ikabaki kiwembe
Haikutosha salamu
Hata ikawa bubu eeh

Tatizo si pesa tell me why
Unavyonitesa tell me why
Tatizo si pesa tell me why

Vile nilivyoekaga taabu
Ukasema nikome wee
Nikilinganisha hii si adhabu
Kwa leo nikuone

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Nauliza nini sababu
Moyo wangu unaupaga taabu
Nauliza nini sababu
Moyo wangu unaupaga taabu

Ungependa nikupe
Kumbe mwenzangu umewaganda kama kupe
Kama buku nisome
Ili yako mitihani nivuke mama

Ulikuponza wasiwasi
Mimi ningebaki na wewe mami
Ubaya huwa ni hasira 
Unajilaumu mwenyewe

Mara una hili una lile
Mwenzako vipi sielewi?
Mara una hili una lile
Mwenzako vipi sielewi?

Vile nilivyoekaga taabu
Ukasema nikome wee
Nikilinganisha hii si adhabu
Kwa leo nikuone eh eh

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Nipunguzie adhabu, siku moja 
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu

Watch Video

About Siku Moja

Album : Siku Moja (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 28 , 2019

More EZE NICE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl