Imani Lyrics by EVE BAHATI


Yesu wakati mmoja na wanafunzi wake
Yesu wakati mmoja na wanafunzi wake
Akawa amewaamuru kufanya miujiza
Kuponya magonjwa, kutoa mapepo kwa jina lake

Kwa bahati mbaya walikuja na habari mbaya
Wakamwambia Yesu tumetumia jina lako
Lakini kuna huyu pepo ambaye hakutoka
Tukang'ang'ana kwa muda mrefu tukitoa huyu pepo
Tukitumia jina lako Yesu

Yesu akawaambia ole wenu nyinyi wenye imani ndogo
Ole wenu
Kuna mambo hayawezi kufanyika
Pasipo kufunga na kuomba mwenzangu

Katika jina la Yesu simama na unyanyuke 
Katika jina la Yesu amini jina lake 
Katika jina la Yesu simama na unyanyuke 
Kwa imani

Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda
Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda

Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda
Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda

Wanadamu sisi tuna shida moja
Niruhusu niwaambie tusaidike
Mungu anaweza kukutoa katika shimo
Shimo la matatizo makubwa
Shimo ambalo ungeambiwa ungetoka ndani
Ungelikataaa

Nenda ukamwamini Mungu wako
Akakutoa ndani ya shimo
Ukamwamini Mungu wako
Akakusaidia ukasimama 

Hivi kesho unajaribiwa tu na kitu kidogo
Hata lile Mungu alikutoa ndani lilikuwa kubwa
Tena unasahau unaanza kusononeka
Mwezangu kumbuka lile alilokufanyia 

Katika jina la Yesu simama na unyanyuke 
Katika jina la Yesu amini jina lake 
Katika jina la Yesu amini neno lake
Kwamba unaweza yote katika Kristo akutiae nguvu ee

Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda
Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda

Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda
Imani nachembea haradali
Ndio imani inayozaa matunda

Watch Video

About Imani

Album : Imani (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 28 , 2021

More EVE BAHATI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl