EMACHICHI Kazi yangu Ikiisha cover image

Kazi yangu Ikiisha Lyrics

Kazi yangu Ikiisha Lyrics by EMACHICHI


Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Furaha nitapata nikiona makao
Bwana aliyoyatwandalia
Nitamsifu mwokozi kwa rehema na pendo vilivuo nipa pahali
mbinguni

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Nao waliokufa katika bwana yesu
Nitawaona tena uko juu
Lakni nifikapo kwake uko mbinguni
Nataka kumwona mwokozi kwanza

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Milangoni mwa mji bwana atanipisha
Pasipo machozi wala huzuni
Nitauwimba wimbo wa milele lakni
Nataka kumwona mwokozi kwanza

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Kazi yangu ikiisha nami nikiokoka
Na kuvaa kutokuharibika
Nitamjua mwokozi nifikapo ng'amboni atakuwa wa kwanza
kunilaki

Nitamjua nitamjua nikimwona uso kwa uso
Nitamjua nitamjua kwa alama za misumari

Watch Video

About Kazi yangu Ikiisha

Album : Kazi Yangu Ikiisha (Single)
Release Year : 2012
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 03 , 2020

More EMACHICHI Lyrics

EMACHICHI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl