DULLA MAKABILA Ningekuwa Demu cover image

Ningekuwa Demu Lyrics

Ningekuwa Demu Lyrics by DULLA MAKABILA


Oooh ningekuwa demu
Aaah wanangu ingekuwaje 
Kama ningekuwa demu
Najiuliza ingekuwaje 
Kama ningekuwa demu?

Yaani madanga yangenikoma 
Kama ningekuwa demu
Ningeitwa shemeji kila kona
Kama ningekuwa demu

Kwanza mi na bwanangu
Mikonge kwa kulala
Maana navo upenda
Ule mchezo kama chakula

Na katika pochi langu
Hirizi ndo zingetawala
Nyi mkiroga mpendwe
Mi naroga nihongwe hela

Hata ukipaka mkongo
Mi ningetaka kuendelea
Makelele kama nachinjwa
Hata kama bwana ana kibamia

Na nikikupa siku moja tu
Lazima utangaze ndoa
Mimba hata ya miezi tisa
Mi ukinitibu natoa

Na nikilewa sikatai
Mi ndo chakula cha masela
Singeli hata ipigwe huko
Ni lazima nitacheza chura

Yaani najiuliza 
Ingekuwaje ningekuwa demu
RJ kichwa nauliza 
Ingekuwaje ningekuwa demu

Aaah wanangu ingekuwaje 
Kama ningekuwa demu
Najiuliza ingekuwaje 
Kama ningekuwa demu?

Yaani madanga yangenikoma 
Kama ningekuwa demu
Ah! Ningeitwa shemeji kila kona
Kama ningekuwa demu

Aah mazoea mazoea hujenga tabia
Binti Santos anajulikana kila kona
Kwa offer za bia
Kweli mazoea mazoea hujenga tabia mama

Ah bosi nelea naitwa baby tila 
Pande za offer za bia

Waimba singeli nina siri zao, nina siri zao
Nina siri zao mi nataka niwaambie
Nina siri zao, nina siri zao
Nina siri zao mi nataka niwaambie 

Naona wamechoka sana 
Nawapa gogo wakalie
We nasikiwa wamechoka sana 
Nawapa gogo wakalie

Mwanangu ukiroga huku 
Na mimi naroga kule
Mwanangu ukichinja huku
Na mimi nachinja kule

Ala shindo na ukichimba huku
Na mimi nachimba kule
We tindo ukioga huku
Na mimi naoga kule

Yangu njia, yangu njia....
Yangu njia, yangu njia....(Wika)
K Money ndo mwanangu we Dulla nakukubali
Yangu njia, yangu njia....

We sikukatai sikupingi maana tumetoka mbali
Yangu njia, yangu njia....
Dulla hatari damu yangu mwanao nakukubali
Yangu njia, yangu njia....

Mi sikukatai sikupingi maana tumetoka mbali
Yangu njia, yangu njia....
HK we mwanangu mi Dulla nakukubali
Yangu njia, yangu njia....

We sikukatai sikupingi maana tumetoka mbali
Yangu njia, yangu njia....
Yaani Papichullo mwanangu we Dulla nakukubali
Yangu njia, yangu njia....

We sikukatai sikupingi maana tumetoka mbali
Yangu njia, yangu njia....
We Jacky Wolper mwanangu mwanao nakukubali
Yangu njia, yangu njia
We sikukatai sikupingi bwana tumetoka mbali

Tia mguuu..

Basi twende
Napenda likienda napenda likirudi...
Napenda unavyochezesha wowowo...

Watch Video

About Ningekuwa Demu

Album : Ningekuwa Demu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 11 , 2020

More DULLA MAKABILA Lyrics

DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA
DULLA MAKABILA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl