Nabii Lyrics by DOGO SILLAH


Kukicha mabaya yanafanyika
Na Mola tayari akikasirika
Ni vita ya shetani na malaika
Kila kukicha ndio maaana nimekuja

Nacheki dunia inavyotisha
Huyu kesi kapewa  yule kaiba
Ni vita ya shetani na malaika
Kila kukicha ndio maaana nimekuja

Kutoka kwa Mola ujumbe nawaletea
Msioyasikia mtajionea
Kwanza naanza na wale
Walioweka misukule watoe

Kisha narudi kwa nyie
Midume feki isiokuwa na marinda ije
Utamweleza nini Mola wako alokuumba
Alikupa -- unageuzwa nyuma unakunwa
Tena unachuna 

Utamweleza nini Mola wako alokuumba
Kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa
Inauma, tena inachoma

Mmmh mafisadi na wachawi mtaumbuka
Mnaowatesa mayatima mtayakoma
Itapolia parapanda mtaisoma ni noma
Mbona mtakoma

Mi nabii nimekuja kufufua
Mi nabii niliyetabiriwa
Mi nabii nimekuja kukemea
Mi nabii, mi nabii, nabii

Mi nabii nimekuja kufufua
Mi nabii niliyetabiriwa
Mi nabii nimekuja kukemea
Mi nabii, mi nabii, nabii

Sodoma na Gomora nyingine ikishafika
Mimi nitaunda Safina
Nitaweka mifugo watoto mi nakuondoka
Nyinyi mtanililia

Mimi kitoto mtume kutoka kwa Maulana
Nishatazama
Kuna gharika laja fanya kuungama
Kutenda mema

Mmmh mafisadi na wachawi mtaumbuka
Mnaowatesa mayatima mtayakoma
Itapolia parapanda mtaisoma ni noma
Mbona mtakoma

Mi nabii nimekuja kufufua
Mi nabii niliyetabiriwa
Mi nabii nimekuja kukemea
Mi nabii, mi nabii, nabii

Mi nabii nimekuja kufufua
Mi nabii niliyetabiriwa
Mi nabii nimekuja kukemea
Mi nabii, mi nabii, nabii

Watch Video

About Nabii

Album : Nabii (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 11 , 2020

More DOGO SILLAH Lyrics

DOGO SILLAH
DOGO SILLAH
DOGO SILLAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl