Hao Parody Lyrics by DOGO CHARLIE


Avo, avocado
Avo, avocado

Avocado nyamaza 
Wewe haujui shida zangu
Acha nilie, lakini ninapambana
Inabidi madawa matembe tu nimeze

Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ona sa sikuwezana (Avocado)
Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ila ikaniumiza (Avocado)

Nimekuwa celebrity sababu uliniimbia
Unatangazia watu eti nimekukosea (Get outa here)
Ka mi ni msofi mbona haukuwezana
Kama we ni mjanja mbona boil imekutokea? (Kanyagia)

Ulinitusi uhit but unachekwa (Shinda huko)
Wakatupost kwa whatsapp na FB (Kwa hivyo?)
Udaku eti unachana veve
Umefura kwa mashavu ni ka umepigwa mateke (Inakuhusu?)

Kukula parachichi gharama (Aii)
Ju ukisha shiba ni lawama (Kweli)
Dogo Charlie ukianza nilikuwa wa maana
Saa hii nimegeukiwa naitwa kitu ya laana 
Na si ni ukweli

Sinanga ubaya unikulange tu (Ah zii)
Coz I woun't kill you nitakujenga tu (Mi staki)
Si bado uko na mafans wanakupenda tu
Besides usijali hivo ndo huwanga bro (Nakuona sana)

Si nyi hukula Avocado kila siku
Za Kericho mnazichukua na za Kisii mnazisifu (Kwenda huko)
Inauma kupambana na hizi issues
But ma-ove msijali tuzoee hizi vitu

Avocado nyamaza 
Wewe haujui shida zangu
Acha nilie, lakini ninapambana
Inabidi madawa matembe tu nimeze

Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ona sa sikuwezana (Avocado)
Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ila ikaniumiza (Avocado)

Watch Video

About Hao Parody

Album : Hao Parody
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Layon Media.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2020

More DOGO CHARLIE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl