Kilio Lyrics
Kilio Lyrics by DJ SEVEN
Niko nnje umeificha funguo
Mkatili umenivua na nguo
Sina jipe kimebaki kilio
Kilio, kilio, kilio
Nimeumia umenikata sikio
Nikawa nacho ambiwa sisikii oooh
Mwishowe nikaja nikaambulia kilio
Kilio, kilio, kilio
Ina maana sikuwahi tena
Zile ahadi zimegeuka upepo na
Zimepepea, pepea pepea
Ina maana hulioni tena na
Lile upepo limegeuka upepo na
Linapepea, pepea pepea
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Aaah aaah
Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Oooh ooooh
Imebaki nimekuwa zoba
Kosa langu kukuweka moyoni
Eeeh...
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Watch Video
About Kilio
More DJ SEVEN Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl