Ukimwona Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


mmmmhhhh
Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu
yashanipiga sasa sinabudi nielewe
siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu
japo nishida ila, nitabaki mwenyewe

ohh ila , mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu
na asisikie kisirani, hukumu ya mapenzi mabaya
hata ungali hai kayruki usingetibu gonjwa langu

kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
sina amani nasaga rumba (rumba)
ohh unani dunda dunda
sema chine tembee moyoo

unanidunda dunda (mamii moyooo)
sina amani nasaka rumba (oohh mimii)
ohh unani dunda dunda
eeeeeeehhhhhhhhhh ukimwona

 ukimwona ukimwona
ukimwona ukimwona 
ukimwona 

we nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya
tena wengi waongo, hawawazi ndanganye
oya ni mashoga rafiki, oohh marafiki wabaya
oooohhhh mmmmmhhh

 tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajui
mpaka akafunga virago, na akaamua kuondoka sitambui
ubaya, kinacho niumiza, maneno neno maneno
mara kwa ndugu rafiki, kwanini anawapa misemo

najaribu papasa, mbona ka macho ataona chochote
ila ndo kutwa mikasa, na nazidi kuanguka, niokote
kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
sina amani nasaga rumba (rumba)

ohh unani dunda dunda
sema chine tembee moyoo
unanidunda dunda (mamii moyoo)
sina amani nasaga rumba (ooohh mimii)
ohh unani dunda dunda

eeeeeehhhhhhhhhh ukimwona
ukimwona ukimwonaukimwona ukimwona
ukimwona 

Watch Video

About Ukimwona

Album : Diamond Singles (Single)
Release Year : 2014
Copyright : (c)2014
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 06 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl