Mtasubiri Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling ooh
Kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia

Mnaosubiri tuachane (ooh mtangoja)
Mtasubiri sana mtasubiri (Wanaosubiri tuachane)
Mtasubiri sana mtasubiri (Vuteni kiti mkae)
Mtasubiri sana mtasubiri

Ooh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja
Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Ooh baby penzi laini sitoi buja
Na moyo nishaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga
Na presha zitaqwashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia

Mnaosubiri tuachane (Mtakesha)
Mtasubiri sana mtasubiri (mtandike jamvi mukae)
Mtasubir sana mtasubiri (mtatungoja sana)
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtangoja sana
Wanasema eti umeniroga
Nikweli ila inawahusu nini
Hunipendi ila unanichuna
Nikweli ila inawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kichеche
Nikweli ila inawahusu nini
Utanichezеa kesho uniache
Nikweli ila inawahusu nini

Watch Video

About Mtasubiri

Album : First Of All (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Mar 16 , 2022

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl