DIAMOND PLATNUMZ Lala Salama cover image

Lala Salama Lyrics

Lala Salama Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Lala salama.
Matatizo chuki lawama.
Matatizo chuki lawama.
Ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipigie simu yangu
Uki.ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo chuki lawama
Vumilia mpenzi wangu
Najua wivu ndo mapenzi
Ila chunga usizidi
Si unajua kwako sijiwezi
Ila dhiki imebidi
Mi nili.tamani si mi kuwa nawe
Tuwe wote usiku na mchana
Kilichofanya mi nipagawe
Sina chochote cha kuwalisha wana
Niliupokea kwa unyonge. msiba wa kaka bona
Ile barua yako ya mwisho. ilinitonesha vidonda
Usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani nimekumbwa. na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya jana ya kesho niombee
Ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipigie simu yangu
Uki.ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo chuki lawama
Vumilia mpenzi wangu
Ile kua uone
Nilidhani maghorofa
Ai, akumbe mwana ukome
Hakuna cha kuokota
Mi bado, nakaza moyo changu kipenzi
Ila naumia kwa kuwa mwenyewe
Natamani ila siwezi, nazitafuta ili nije kula na wewe
Msalimu mama nyumbani, usiseme kama nahenya
Tai, mfiche mpe imani, karibu ntakuwa chema
Usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani nimekumbwa. na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya jana ya kesho niombee
Ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipigie simu yangu
Uki.ukilala lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo chuki lawama
Vumilia mpenzi wangu

 

Watch Video

About Lala Salama

Album : Diamond Singles (Single)
Release Year : 2014
Copyright : (c)2014
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 05 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl