Kamata Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kiuno kamata bega
Kamamta kichwa ka ndoo unabeba
Kamata kimini chalegalega
Ooh maana cha shuka chini unanitega

Aah mah ya leo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

Eeh kama gari ile vuum vuum (Vuum Vuum)
Mtoto mkali mchum chum (Chum chum)
Ikiwa ngangari ile ngumu ngumu (Ngumu ngumu)
Nenda kamchinjie mbali kwa room room 

Sa twende kamata kama unaisakata
Nyuma kwa bambata ile kinoma
Tegeta tabata fanya unaifatata
Za mbuzi kakataa amegoma (Aiiih)

Katikati chini chini (Kamata)
Kasi kasi speed 12o (Kamata)
Eeh kama unamenya ndizi (Kamata)
Police anashika mwizi (Kamata)

Aah mah ya leo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto 
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

 

Watch Video

About Kamata

Album : Kamata (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 25 , 2021

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl