Zunguka Lyrics by DAVID WONDER


Oooh nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Wacha na ijulikane
Mungu wangu anaishi
Tangu si tupatane
Sijawai kosa dishi

Wacha na ijulikane
Mungu wangu anaishi
Tangu si tupatane
Hatujawai kosa sisi

Ndio maana
Aii aii aii aaii ai
Ooh nimekuona Baba
Aii aii aii aaii ai
Ooh nimekuona Baba

Kupata kazi kwa ofisi
Lazima uhonge mafisi
Na binadamu hawaridhiki
Lakini kwako kwako kwako..

Oooh nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah

Wacha naijulikane
Nakutegemea wewe tu
Bila we si rahisi
Kuzunguka daily kwa miguu

Sometimes ata nakosa 
Kuwekea skuma kitunguu
Na mengine sitasema
Nitawahadithia wajukuu

Na ndio maana
Aii aii aii aaii ai
Ooh nimekuona Baba
Aii aii aii aaii ai
Ooh nimekuona Baba

Kupata kazi kwa ofisi
Lazima uhonge mafisi
Na binadamu hawaridhiki
Lakini kwako kwako kwako..

Oooh nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah

Aii aii aii aaii ai
Aii aii aii aaii ai

Oooh nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah

Oooh nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah 

Nilizunguka
Zunguka yeah yeah 
Kabla sijakupata 
Nilizunguka yeah yeah

Safri records

Watch Video

About Zunguka

Album : Zunguka (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 16 , 2019

More DAVID WONDER Lyrics

DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl