Leo Lyrics by DARASSA


(Classic Music)
(Abbah)

Hello its me again
Mr Burudani, take away the pain
Pole kwa kuchelewa si unajua foleni
Nawapa vidonge kutuliza complain

Kichwa, sijabeba kama pambo
Akili, nimetega kwenye chambo
Fullu, charge na fullu bundle
Ukileta usoo, unawekwa kando

Ana maseke ukitete
Muulize ila kama mapepe
Mtulize, sema naye

Oooh aaah eeeh
Oooh aaah eeeh

Kama uliibiwa cheche
Imekuwa kasheshe
Huwezi kuzuia mvua wacha inyeshe
Sema nao

Oooh aaah eeeh
Wadeseke
Oooh aaah eeeh

Utaua ua bure sijalala
Nimeficha tu makucha
Huku ndani ndo kwanza kumekucha
Vunja mifupa, waulize nani kaachiwa bucha

Leo, kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Kama ni mnazi katika(leo)

Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Na kama ni mnazi katika(leo)

Kama pochi limechanika
Speaker zinakita
Mbona hapata chimbika leo, yeah yeah
Mamacita, take a picture tunahakikisha leo
(leo, leo, leo, leo)

Eeeh, waweke walete mpira kati
Nimeondoka kidogo tu vagaranti
Niko online, nataka kuchati
Am not finishing, am just getting started

Mazungumzo baada ya habari
Cheza mbali, maana hali sio shwari
Jichanganye kama kachumbari
Chumvi mpaka kwenye chai hii ya leo kali

Umebugi step ebu cheki cheki
If am not mistaken, umegeuza gazeti
Ukitaka kazi ya jeshi
Don't forget hakuna kuku petty petty

Ana maseke ukitete
Muulize ila kama mapepe
Mtulize, sema naye

Oooh aaah eeeh
Oooh aaah eeeh

Kama uliibiwa cheche
Imekuwa kasheshe
Huwezi kuzuia mvua wacha inyeshe
Sema nao

Oooh aaah eeeh
Wadeseke
Oooh aaah eeeh

Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Kama ni mnazi katika(leo)

Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Na kama ni mnazi katika(leo)

Kama pochi limechanika
Speaker zinakita
Mbona hapata chimbika leo, yeah yeah
Mamacita, take a picture tunahakikisha leo
(leo, leo, leo, leo)

Watch Video

About Leo

Album : Leo (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 08 , 2019

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl