DANNY GIFT Neno Lako cover image

Neno Lako Lyrics

Neno Lako Lyrics by DANNY GIFT


Ukitenda nani wakupinga
Hakuna (hakuna) hakuna
Na ukisema ndio
Nani awezaye sema hapana
Hakuna (ooh hakuna), hakuna
Na unyoshapo mkono wako
Baba kwa nguvu wewe unafanya
Tena kwa nguvu bwana washangaza
Eeh iyee iiih

Neno Lako, litasimama (litasimama)
Litasimama, Halita pita (halitapita)
Ufanyapo baba hakuna
Wakupingana Wala wakupingana
We ni Bwana (aaaah aah aaah..)
We ni Bwanaa (aaaah)
We ni Bwana (aaah aaaah)
We ni Bwana (aah aah)

Tangu ujana wangu uanze
Sijawahi ona Wewe ukishindwa
Haushindwi (haushindwi) haushindwi
Hakuna jambo ngumu kwako
Unaweza yote mwenye nguvu
Haushindwi (Haushindwi)
Haushindwi
Majira huja na kupita
Sijawahi ona wewe ukikwama
Unaweza yote bwana washangaza
Eeeeh... Majira huja na kupita
Si jawahi ona wewe ukikwama
Unaweza yote bwana washangaza
Eeeh...

Neno Lako litasimama
Litasimama, halita pita
Ufanyapo baba hakuna
Wakupingana
Wala wakupingana
We ni Bwana (aaaah aah..)
We ni Bwanaa (aaaah)
We ni Bwana (aaah aaaah)
We ni Bwana (aah aah)
Milele na milele we ni Bwana (aaah)

Bwana unatawala milele yote

Unatawala (Unatawala)
Unatawala (Unatawala)
Milele na milele
Unatawala, Milele
Unatawala (Unatawala)
Hakuna kama Wewe
Unatawala (Unatawala)
Unatawala , Milele
Unatawala (Unatawala)
Unatawala, Unatawala
Milele
Unatawala (Unatawala mfalme)
Unatawala (mfalme)
Unatawala, Milele

Neno Lako litasimama
Litasimama, halita pita
Ufanyapo baba hakuna
Wakupingana
Wala wakupingana
We ni Bwana (aaaah aah..)
We ni Bwanaa (uuuh)
We ni Bwana (aaah aaaah)
We ni Bwana (aah aah)

 

Watch Video

About Neno Lako

Album : Neno Lako
Release Year : 2020
Added By : Afrika Lyrics
Published : May 03 , 2020

More DANNY GIFT Lyrics

DANNY GIFT
DANNY GIFT
DANNY GIFT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl