CORNEL CEEZY Haitaki Hasira cover image

Haitaki Hasira Lyrics

Haitaki Hasira Lyrics by CORNEL CEEZY


Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Ah hii team ni ya mafathe
Hakuna mamas enda pale 
Ligi iliisha jana na huskii buda 
Ati bado si ndo machampe

Nakata keki daily unaeza dhani buda kila siku ni birthday
Nachanganya chrome na energy
Nikizima watadai mi ni light weight
Afande wapi kipande, hatutaki mambleina hii upande
Hatudai security so buda itabidi urudi kwa kambi
Napenda mavazi so vile buda nitawapigia kinyasa na roshe

Sijapiga suti lakini maninja wanajua nani ni boss
Walidai feature sai ngoma zangu zimejaa tu na majokes
Ingia mtaa usiku utapata maninja wamedoz on toes
Nawadishi na kijiko leo lakini kesho kisu na fork

Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Napiganga pizza na uji, hebu kwanza pitisha hio chumvi
Ati we ni pussy nigga, basi nigga atleast nyoa hizo fudhi
Na kama ni giza nitawachoresha my nigga na mi si msudi
Amejipika jina ni Becky basi nipee hio cookie

Manzi yako ananiita bestie, anadai we bestie ni msexy
Kwa keja na mi simueki, naride bila hata breki
Atamwaga hadi ableki, ona sasa umerarua bedsheet
Mi ndo the shit na nimeikaza wacha kwanza nikadenki

Sijapiga suti lakini maninja wanajua nani ni boss
Walidai feature sai ngoma zangu zimejaa tu na majokes
Ingia mtaa usiku utapata maninja wamedoz on toes
Nawadishi na kijiko leo lakini kesho kisu na fork

Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Haitaki hasira
Cheza tu chini buda utaona miujiza
Bila hata filter
Sijaenda jikoni na bado buda nimeiva
Nataka picha mnapiga pause
Mnajua nimefika
Vile mnabisha
Iza jo buda boss kwani nimewatisha

Watch Video

About Haitaki Hasira

Album : Haitaki Hasira (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Playzone Entertainment
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 16 , 2020

More CORNEL CEEZY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl