Katika Lyrics by CJAMOKER


Napendaga unavyokikata yaani mpaka nadata
Unaumiza machizi wanawaza nini watakupata
Miuno ya fasta fasta mi nikikukamata
Linakuwa bonge la movie yaani kama kwenye kibao kata

We mtoto ni noma kwenye zile nane kagoma
Wanakisahaulisha watosa wanapakazia utanipa ngoma
Mi wala sisikii yaani kama Jux kwa Vee
Kwako nishafika sijali ngoma, cancer wala TB

Ukipita kitaani kila kona wanapiga miluzi
Maana uko uwani umelifunga shia bonge la shuzi
Nipo sehemu flani na nishakutupia sana michuzi
Daily wanakutamani sing to wewe jana na juzi

Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 

Baikoko unavyolicheza kama hana mfupa
Kiuno kinavyolegezwa huku nyuma ni shida
Hilo dera anavyolimeza machizi ni macho kodo kodo
Na wana makengeza dem mrembo kwenye mchezo

Mpaka ninaogopa akileta pigo zake za mitego
Na kucheza na nyoka utasema kinywani hana magego
Anavyonikosha chocho zote ni mtelezo
Kila chaka anajitosa mwenzenu nimeshampata

Yule anayemtaka, anavyonipeleka fasta
Mi nabaki tu kusema swadakta
Yaani kitu shatta shatta sio chapa chapa
Wala sifanyi ajizi nikishapewa nakita haswa

Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 

Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 
Ka katika, Ka katika 

Watch Video

About Katika

Album : katika (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 18 , 2021

More CJAMOKER Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl