Muujiza Lyrics by CHRISTINA SHUSHO


Nikilala niamke, nikiona natembea 
Mwenzenu kwangu ni muujiza
Asubuhi kunakucha jioni ikiingia
Maisha yangu mimi ni muujiza tu

Siku ikipita mwezi na mwaka unapita
Mimi kwangu ni muujiza tu
Yesu, Yesu bwana wangu eh
Oh kwangu ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Kuna walio lala, hawakuamka
Eh bwana naona ni muujiza
Walioanza safari hawakufika 
Mimi leo najiona ni muujiza

Kuwa hai, kutangaza neno lako
Bwana kwangu mimi ni muujiza
Sina sababu ya kunyamaza 
Maana kwangu ewe bwana ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Hoyee, hoyee, eh Yesu wee hoyee
Hoyee kwa Yesu eeh, Yesu wangu

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Watch Video

About Muujiza

Album : Muujiza (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 03 , 2021

More CHRISTINA SHUSHO Lyrics

CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl