CHIKUZEE Koma Corona cover image

Koma Corona Lyrics

Koma Corona Lyrics by CHIKUZEE


Korona umeleta tafarani
Hatutembeleani nyumbani
Kwa marafiki vikao vingi
Umevitawala wewe

Barabarani tuvae maski
Tuingie hapo tuoshe mkono hi
Hauitaki halaiki ya watu
Wananchi tutakula nini?

TV, gazeti, redio nchini
We Corona utaisha lini?
Hauitaki halaiki ya watu
Wananchi tutakula nini?

Ooh dunia mzima mtaani o
Taarifa nyingine hakuna o
Ni yako ni yako ee
Ni yako Corona

Madakitari kimbilio letu
Unawamaliza wewe sasa
Nimechoka sekeseke zako, mie 
Zimechosha masikio koma

Koma Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini koma

Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini ayee

Eeh una nguvu za ajabu 
Napata taabu
Nakosa usingizi hey
Unanifanya mapema nilale 
Na nnje nisitoke

Niambie nikupe siku ngapi
Ujisalimishe duniani wewe
Kama ni mwaka hatutaki
Utausambaratisha ulimwengu wote

Ona na vifo vyako vinahesabu
Unao waadhiri hawana matibabu
Wanapata taabu
Kisa Corona wewe

Ooh dunia mzima mtaani o
Taarifa nyingine hakuna o
Ni yako ni yako ee
Ni yako Corona

Madakitari kimbilio letu
Unawamaliza wewe sasa
Nimechoka sekeseke zako, mie 
Zimechosha masikio koma

Koma Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini koma

Corona wewe koma
Unatumaliza we koma
Corona wewe koma
Utaisha lini ayee

Mola tuepushie 
Na hili janga la korona
Tushushie na neema zako
Mola 

Corona eeh, Corona ooh
Corona kilio Corona
Corona aah, Corona

Watch Video

About Koma Corona

Album : Koma Corona
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 06 , 2020

More CHIKUZEE Lyrics

CHIKUZEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl