CHIDI BEENZ Serious Genius cover image

Serious Genius Lyrics

Serious Genius Lyrics by CHIDI BEENZ


Mami please don't clap
Got to keep the head up
Bendera you go high

Wanasema what for me?
Hata kama nimekuwacha
Kingkong la familia master
Mafia, power gangster ninja

Usilete mchezo baba yangu nitakuchinja
Japo ka polisi nuksi kama diss
Hope usingisi kwenye shot never miss
Ruka ukipeta sing na unanyeta(Mea)

Mpaka wazee wanapiga ngeta
Makofi shangilia ka fiesta
R.Kelly Jay Z remix the better
Yeah, kiss kiss rumande, swali mpaka sunday

Cash in out na wapambe 
Ilambe ka umekula kande
Ukishiba usahau, Nenda...

Bam bam bam 
Aaah ....

Maneno kama billion laki, Billion mia 
Sumu kwenye chati, crossborder India
US simu zinalia, UK mbio namchinjia
Dubai kafa, ila landlord namfukia

Ushezi yake, sina uongozi na ukweli niko neutral
Na niko mbali juu pembeni kwa mbele ya pluto
King, sitaki mbele iwe majuto
God yes, sifagilii vituko
Uchekeshi wakati unacheka mcharuko
Mbosso ama Aslay ita Mbosso
Izo manizo fo shizzo, movie hizo sifa mpe Dulli
Bongo sinema, maigizo, majela majibi malulu
Maagizo, majumba Kanumba wanapata ...

Am a rap nigga, bam bam
---

Watch Video

About Serious Genius

Album : Serious Genius (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 23 , 2019

More CHIDI BEENZ Lyrics

CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl