Hadithi Lyrics by CHIDI BEENZ


[INTRO]
Yeah… Yeaaah haha
We unawaza ngumi kali me nawaza kukuzika
Unacheka wakati natisha wowo (aki ya mungu) ya!

[VERSE 1]
One time mila kwa mmoja wa kisela
Mambo mpela mpela
Sura nzuri jela
Shika kochela
Mwaga kila sera
Kule beki watoto wadogo wenye wamejitela
Na familia ni ka rockafella
Watanzania full squad with katela
Speechi ya mama mashabiki wanookera

Sina habari nguo unafanya tonge kama mpera
Una nuna una vimba, kimba unakera
High lady huenda fasti vuli ntela
Haile haile vunja majela

Hunitishi na una sura kama ngwela
Magufuli nguvu sio sera
Gas gas na imekunywa maji ya bendera
Diamond wakawaka rickross fella
Viva mandela, iiva wela

[CHORUS]
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

[VERSE 2]
Kila tukio tukio
Hope lako linakuja
Hata ijae vipi sio sababu ya kuvuja
Hamtani true ya Zaidi halleluyah
I love vest me
Oooh ndo na move aah
Back down nigga
We shut down nigga ilala
Karibu kwenye my town nigga, eazy
Bado tunapiga round ka jeezy
Gangsta jump around nigga(wooh)
Viherere wako mbele kama utosi
Cartoon toon kinyago cha ghosti
Na hell no no bora nikaposti
Mchaga mwenye akili ya kidosi

Maisha sio fair nigga, rip ngoya
Shetani atiii tii ila mungu hatakumbea
Roho mbaya kama muuza nyata
Mpenda urembo jua ataundwa mpaka taa

[CHORUS]
Hadithi hadithi Hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi Hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

[VERSE 3]
Hadithi hadithi
Ila sio ya sungura na fisi
Weeeh
Hadithi hadithi
Kutushika sisi sio rahisi
Na kama chi amekaba flow
Pembe niko na Babylon
Itakuwa vipi wakija kwenye show
Hadithi hadithi njooo

[CHORUS]
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

 

Watch Video

About Hadithi

Album : HADITHI (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 09 , 2018

More CHIDI BEENZ Lyrics

CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl