Ipepee Lyrics by BWANA MISOSI


Blessings
Misosi

Am sorry brother
We sio uliimba sa utatoka Vipi
Sikuskii tatizo Ni lipi
Umefeli ama umekosa Kiki
Mpaka nikadhani umekosa Chichi

Aaah ah Niko chimbi najipanga
Maana Muziki wa bongo umejaa mavituko
Wengine mnawanga wengine mnadanga
Ninakumbuka wimbo wa madame wa Tanga
Dah Ule Noma ulipasua ule dimbo la anga
Kwenye Mapenzi Tanga Hakunanga
Maana nilimpata mmoja alivuja Kama tags

Hivi mnajua wadogo mnazingua
Wenye Camera kwanza Ngoja
Msiba
Mista ebo ulitokea??
Ngoja kwanza Ila wangwea nilihudhuria Kinyama
Wengine sio mastar bwana wachana na hizo mambo

Kelele Mingi mnatuchosha
Wacha Muziki itawale
Tusikie Unapepea
Wikendi mnataka makiki mnazusha
Mnatangaza mmekufa Tena baada ya Siku mmefufuka
Nyumba Ni digitali

Hivi una Mtoto ??
Ah ah
Naona Kama unapitia changamoto
Maisha freshi Niko msafi sina msoto
Hauna Show bana unakiona kwa Moto

Wanapigwa huku na kupigwa Kule
Media zenyewe zimesababisha misukule
Eti bro show Zako ulikua unalipwa ngapi
Niliskia ulikua unalipwa elfu hamsini tu

Kelele Mingi mnatuchosha
Wacha Muziki itawale

Watch Video

About Ipepee

Album : Ipepee (Single)
Release Year : 2020
Added By : Its marleen
Published : Sep 18 , 2020

More BWANA MISOSI Lyrics

BWANA MISOSI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl