BILLNASS Magufuli Ndo Baba cover image

Magufuli Ndo Baba Lyrics

Magufuli Ndo Baba Lyrics by BILLNASS


Siku hizi hata vumbi hatulijui
Kila kona barabara hazisumbui
Magufuli na rushwa swara na chui
Amewafyeka mafisadi hawapumui

Tunadhubutu kusema ye ndo baba
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda
Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Corona ilitufika na bado ilitushika
Akatuhimiza kuvaa maska na kadhalika
Vijijini kabisa na wanampa sifa
Amezijenga zahanati kwa uhakika

Kwanza watu wanafuata sheria na
Unatupenda si tunakupenda pia na

Hee, una kila sababu ya kupita tena
Una kila sababu
Hee, una kila sababu ya kupita tena
Una kila sababu 

Tunadhubutu kusema ye ndo baba 
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Umeleta mwanga Tanzania
Natamani udumu hata miaka mia
Usafiri wa anga bombadia
Elimu bure, masikini wanasoma pia

Umetupa mwanga, umeme unawaka
Umetupa mwanga

By the way CCM moja namba
By the way wapinzani wanafyata
By the way umejenga madaraja 
Kiongozi bora mambo safi hadi sasa

Na by the way mama Samia anatubeba nguvu
Amedhihirisha wanawake pia wanaweza
Na by the way na Majaliwa anatubeba nguvu
CCM imara haiwezi kutetemeka

Tanzania bara
Visiwani kote pia CCM imara
Tanzania bara
Visiwani kote pia CCM imara

Tunadhubutu kusema ye ndo baba 
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Watch Video

About Magufuli Ndo Baba

Album : Magufuli Ndo Baba (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 12 , 2020

More BILLNASS Lyrics

BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl