Huna Baya Lyrics by BILLNASS


Mmmmh...mmm aah
Mama mama mama..

Shida na dhiki zote za kwangu
Kama mziki kipaji changu
Sidhaminiki na ndugu zangu
Kwani rafiki jamaa zangu

Napenda pale unapomwaga radhi
Ila usijeleta paparazi
Na huku mboka wako shy
Utaumia mikono kwa kuvunja nazi

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa chideo
Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa kileo

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Yaani leo mi ndugu zangu wanangu
Masikini wananihadaa
Kwa jasho klangu kidogo changu
Nachokipata sikukificha

Acha ulalame na moyo upendo fula (Sawa)
Mwenzako mi loyal ata ukiniona unapagawa
Unashindwa sema beiby ooh ushakula madawa
Mwenzako mikono hata ukiniona unachachawa

Na nisikiapo baridi we sweta langu
Si tutoke twende kijiji kipenzi changu
Nivimbe mto Rufiji na beiby wangu
Out twende Kibinji kwa bibi yangu

Na punguza masihara, yatatawanya
Yasijeleta mazani aah
Na mi niko imani, niko imani
Ukikwama nipe dawa

Na sio kosa kunipenda ufanye sherehe
Ila nami nakuomba nifanye hai starehe
Kunguli manyanga nifunge nisirejee
So kama anashindwa penda naogopa yasirejee

Na vipi nisemega ka mchumba wa kigogo
Masha Love usimjue
Na sio kosa kusema -- nachofaa usiinue
Na vipi nishindeje mke wangu hadharani
Na atachoma asinue
Na mimi sio kama sipendi
Sitamani anayenipenda asimjue

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro(Mariro)
- mariro (Mariro)

Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni
Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro(Mariro)
- mariro (Mariro)

Watch Video

About Huna Baya

Album : Huna Baya (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 21 , 2020

More BILLNASS Lyrics

BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl