BETTY BAYO Unamuwinda Nani cover image

Unamuwinda Nani Lyrics

Unamuwinda Nani Lyrics by BETTY BAYO


Unamuwinda Nani? nani?
Unamtafuta nani? Nani?
Napigana pigana pigana pigana
Adui yangu nani? Nani?
Vita si vyangu mimi, vita ni vya Mungu
Atapigana pigana na wewe atakushinda tu

Saul mbona unaniwinda?
Nauliza mbona unaniwinda?
Usiku mchana unanilinda

Mimi mhunga kondoo kijana wa Yese
Umri wangu mdogo vita siviwezi
Bara ino ti yakwa bara ino ni ya Ngai
Niakuhotanira

Kiwanda nilikupigia, zeze nilikupigia 
Kirubi nilikupigia, wimbo nikakuimbia
Kinanda ngiguthakira, coro ngikuhuhira
Guitar ngikuhurira, ona rwimbo ngikuinira
Lakini mbona unaniwinda? Lo unaniwinda

Unamuwinda Nani? nani?
Unamtafuta nani? Nani?
Napigana pigana pigana pigana
Adui yangu nani? Nani?
Vita si vyangu mimi, vita ni vya Mungu
Atapigana pigana na wewe atakushinda tu

Saul niki tururania
Saul niki ndagwikiire
Gwendagira wega, unyendagira uru
Nie ndi kwirihiria ngugutigira Ngai

Ulinituma kwa - za Wafilisti
Nenda nikakuletea Sauli acha unafiki
Nikamuumua Goliath adui wako mkubwa
Nikamuua Goliath adui wa Israeli

Kosa langu ni nini?
Dhambi yangu ni nini?
Hau mahetia meha?
Nyingi niki ndeka?

Kwanini leo unaniwinda?
Wewe unaniwinda oh

Unamuwinda Nani? nani?
Unamtafuta nani? Nani?
Napigana pigana pigana pigana
Adui yangu nani? Nani?
Vita si vyangu mimi, vita ni vya Mungu
Atapigana pigana na wewe atakushinda tu

Unamuwinda Nani? nani?
Unamtafuta nani? Nani?
Napigana pigana pigana pigana
Adui yangu nani? Nani?
Vita si vyangu mimi, vita ni vya Mungu
Atapigana pigana na wewe atakushinda tu

Watch Video

About Unamuwinda Nani

Album : Unamuwinda Nani (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 19 , 2021

More BETTY BAYO Lyrics

BETTY BAYO
BETTY BAYO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl