Mdundo Lyrics by BEN C


Nataka niwe sauti yako
Ndo wakiniona wanakutaja wewe
Wajue hakuna zaidi yako
Mmmh

Nitakaze na upako wako 
Kila nikipita inabidi wakiri
Ukweli hakuna zaidi yako
Mmmh

Uguzacho wakipa uhai weee
Mi nakuomba ziguze zangu ndimi
Niimbacho ukipe uhai wee
Mmmh eiyee

Sauti yangu iwe tu high wee
Ya kufika hapo kwako mbinguni
Mziki wangu upe uhai wee
Eiyee mziki wangu

Uwe zaidi ya mdundo
Ujawe na ujumbe, mdundo
Uwe zaidi ya mdundo
Uwepo wako uwe mdundo

Uwe zaidi ya mdundo
Ujawe na ujumbe, mdundo
Uwe zaidi ya mdundo
Uwepo wako uwe mdundo

Najua kuteguka kwangu mara moja
Nikishindana na wezangu kama soja
Nikumbushe hoja letu sote moja
Kwako nisije leta visa na vioja

Nifunze mienendo na yako tabia
Nisije potoka kwa maadili yako
Zishike fikira na zangu hisia
Nisije rudi kwa dhambi kama before

Na nyimbo zangu wakiziskiza 
Ziwe zaidi ya kinanda
Zaidi ya mistari iliyopangwa
Wakiniskiza utukufu kwako uzidi panda

Na nyimbo zangu wakiziskiza 
Ziwe zaidi ya kinanda
Zaidi ya mistari iliyopangwa
Wakiniskiza utukufu kwako uzidi panda

Uguzacho wakipa uhai weee
Mi nakuomba ziguze zangu ndimi
Niimbacho ukipe uhai wee
Mmmh eiyee

Sauti yangu iwe tu high wee
Ya kufika hapo kwako mbinguni
Mziki wangu upe uhai wee
Eiyee mziki wangu

Uwe zaidi ya mdundo
Ujawe na ujumbe, mdundo
Uwe zaidi ya mdundo
Uwepo wako uwe mdundo

Uwe zaidi ya mdundo
Ujawe na ujumbe, mdundo
Uwe zaidi ya mdundo
Uwepo wako uwe mdundo

Watch Video

About Mdundo

Album : Mdundo (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Lax Ent.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 15 , 2020

More BEN C Lyrics

BEN C
BEN C
BEN C

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl