Dhahabu Lyrics by BEATRICE MWAIPAJA


Nilipokuwa nipo chini mavumbini
Nilipokuwa nipo chini mavumbini
Walinikataa waliniona ni mavumbi tu
Walinikataa nilikuwa sina dhamani kwao

Walijua jana yangu, hawakujua leo yangu
Waliniona ni masikini, waliniona sina dhamani kwao
Waliniona sina lolote, ila walichokosea hao hao 
Walijua jana yangu wao, hawakujua leo yangu wanadamu

Leo nang'ara kama dhahabu 
Acha ning'are mi ni dhahabu
Leo nang'ara kama dhahabu 
Acha ning'are mi ni dhahabu

Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu

Usiidharau leo ya mtu
Usiidharau leo ya mtu
Maana haujui kesho yake
Maana haujui hatima yake
Hatima ya mtu i mikonono mwa Mungu
Hatima ya mtu i mikonono mwa Mungu

Aliye masikini leo, kesho huyo ndo tajiri
Unayemwona chini leo leo, kesho atainuliwa na Mungu
Hatima ya mtu i mikonono mwa Mungu
Kesho ya mtu i mikonono mwake Baba

Daudi alikuwa mchunga kondoo porini
Daudi alikuwa mchunga kondoo Daudi
Nani alijua Daudi ni mfalme
Nani alijua Daudi ni mtu mkubwa

Kumbe unaweza pitia leo, kwa utukufu wa kesho
Kumbe unaweza pitia leo, hiyo ni heshima kwa Mungu
Watakapo kuja kuinua watashanga aah
Usije idharau leo ya mtu'

Sasa nang'ara kama dhahabu
Amenitengeneza Mungu leo nang'ara
Kama dhahabu

Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu
Mimi mimi ni dhahabu, mimi ni dhahabu

Nilipokuwa masikini nilivumilia
Waliponikataa na kunibeza nilivumilia 

Leo nang'ara kama dhahabu
Acha ning'are Mungu amenitoa mbali
Acha ning'are Mungu amenikumbuka
Na sifa kuu ya dhahabu
Na sifa kuu ya dhahabu, dhahabu 

Ni lazima ipite kwenye moto
Ikipita kwenye moto dhahabu itang'ara tu

Na sifa kuu ya Mungu wetu huyu
Hutuinua kutoka chini, chini chini sana
Na kutupandisha mpaka juu
Na kutuketisha na wakuu

Usijeidharau leo ya mtu
Hatima ya mtu i mikonono mwa Mungu

Leo nang'ara kama dhahabu 
Acha ning'are mi ni dhahabu
Leo nang'ara kama dhahabu 
Acha ning'are mi ni dhahabu

Watch Video

About Dhahabu

Album : Dhahabu (Single)
Release Year : 2018
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

More BEATRICE MWAIPAJA Lyrics

BEATRICE MWAIPAJA
BEATRICE MWAIPAJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl