BAND BECA Ni Wewe  cover image

Ni Wewe Lyrics

Ni Wewe Lyrics by BAND BECA


Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
(Ooh hallelujah)

Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 

Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Upendo wako(wanijaza roho wewe ndiwe Mungu)
Na neno lako (lanijaza roho Mungu wa miungu)

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 

Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza

Watch Video

About Ni Wewe

Album : Ni Wewe (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 27 , 2021

More BAND BECA Lyrics

BAND BECA
BAND BECA
BAND BECA
BAND BECA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl