BALAA MC  Nakuja Remix cover image

Nakuja Remix Lyrics

Nakuja Remix Lyrics by BALAA MC


Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)
Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)

Mwenzako nishafunga mpaka maviremba (Nakuja)
Mwenzako nishapaka mpaka unga unga (Nakuja)
Mwenzako nishameza mpaka mavidonge (Nakuja)
Virusi naogopa nishanunua mi pakti nzima (Nakuja)

Kama nauli nishakutumia (Nakuja)
Sa mbona mpaka sasa mchumba hujatokea (Nakuja)
Ulitaka kijora nikakuzingatia (Nakuja)
Sa mbona simu nikipiga unanikatia (Nakuja)

Nikipiga simu mda wote unasema (Nakuja)
Kanywa wine nitakuimbia sensema (Nakuja)
Na ukiwahi nitakupeleka kwa mama (Nakuja)
Sio utani yaani amekumiss sana (Nakuja)

Mwenzako  nimekumiss mamiloo (Nakuja)
Usipokuja aki ya Mungu nitaumia roho (Nakuja)
Nakupenda mi msela sio bishoo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Si ulitaka hela ya ligi nikakupa (Nakuja)
Hata kijora kwa Mobetto nishalipa (Nakuja)
Si ulitaka kepe yai nishaagiza (Nakuja)
Hata kitenge kwa Wolper nishalipa (Nakuja)

Siku hizi mbona muongo mamiloo (Nakuja)
Mda wote huwa unasema uko Kariakor (Nakuja)
Punguza kujiangalia kwa kioo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Watch Video

About Nakuja Remix

Album : Nakuja Remix (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 18 , 2020

More BALAA MC Lyrics

BALAA MC
BALAA MC
BALAA MC
BALAA MC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl