Bado Lyrics by BAHATI


Eeh niaje Deno
Vipi Bahati tena?

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Nimesoma degree na kazi bado(Bado)
Mke wangu anadanga umasikini chanzo(Bado)
Vibarua Eastleigh na kazi bado(Bado)
Nyuma nayo ya kupanga elimu zero(Bado)

Mama analia cancer matibabu bado
Heri yule tajiri atatibiwa Ng'ambo
Baba lini machozi yatafika mwisho
Fanya hima ushuke tumefika mwisho

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona 
Nijue sura ya mke wangu

Pia mwezi na nyota nione
Nikichunguza na kuvutia
Alafu isitoshe
Shida zimeniandama aaah

Kodi sijalipa(Bado)
Jirani anachoma nyama aah
Angalau hata mboga(Bado)

Si ati kwamba nasahau
Unaniwaziaga mema(Bado)
Ila mwisho nimefika
Lakini nakutazamia(Bado) 

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona 
Nijue sura ya mke wangu

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kupata baraka 
Nifanane na wenzangu

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Watch Video

About Bado

Album : Bado (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 EMB Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 18 , 2019

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl