Tena Lyrics by BABA LEVO


Take 5 now, take 5 now...
Mungu mwenye baraka 
Nakushukuru kwa hizi fanaka
Naimba ninapotaka 
Fungua njia nifunge mipaka
Nyota izidi kuwaka
Nipate nitoe sadaka
Waoneshe binadamu bila we ni taka taka

Niliwapa high and low wakasema nimeongea
Eeeh wengine kajifariji lege ikawaonea
Baba levo kalikamata jiji sasa wanaongea
We kubali tuko level fiti ngoma inapepea

Hehe mi ni mtatanishi ndio maana nawatatiza
Wanashangaa kilema anawkimbiza
Hawanitakii ila nishang'ang'aniza
Na siwaachi nazidi kukandamiza

Ati metjali wamekubali kwnza mi ni soo
Nitafika mbali nizidishe floor
Hawa wanati tea wanajiona kwa chop
Samata Sanata nawafunga goal goal

Nataka tena hai, nataka nini? hai hai 
Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai

Walichokosa mizuka nimechafukwa na kina luja 
Hata mvua inyeshe wameyatimba vumbi taruka
Wajanja wanasanuka, washamna kinashuka
Na hii haina kufeli songa karibu nikupe ukweli

Nishapiga makina ngoma mamidundiko mpaka singeli
Ila mambo ndo yamegoma hao wadau ni matapeli
Wanaopewagwa nafasi kijiwe nongwa tu hamna teli
Tunaojuaga nafasi sio sio madarasa ni matapeli

Kigoma mwisho wa reli 
Nikiite kifala mtafeli
Asante kwa mashabiki wanaonipa kila la kheri
Pole kwa wanafiki wanaosifu kwa kukejeli
Muda ndo umefika tutapambana pah pah pah

Leo natangaza vita mi ndio kidume nani mwingine?
Wekeni vikwazo nitapita mi ndio kidume nani mwingine?
Hamwezi kuniongopea siiishi kwa mazoea
Nataka nipewe darasa la kuwafunza na kuwakemea
Watu niwape hamasa za kuwafunza na kuwazomea
Kisha nifanye siasa mwenye kuimba nikigombea

Nataka tena hai, nataka nini? hai hai 
Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai

Watch Video

About Tena

Album : Tena (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 05 , 2020

More BABA LEVO Lyrics

BABA LEVO
BABA LEVO
BABA LEVO
BABA LEVO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl